JSON Variables



PENDAEL HAGAI ni msanii wa nyimbo za injili akifanya vyema katika kulitangaza neno la MUNGU. 
PENDAEL HAGAI sasa amekuja 
na wimbo inayojulikana
 kwa jina la NENO MOJA, 

Pakua sasa na kusikiliza wimbo huu
Lakini pia usisahau kumsupport ili 
aweze kufika mbali katika kazi 
ya kulitangaza neno la MUNGU ili 
Kuwafikia watu wengi zaidi.

KWA MIALIKO, MAONI, USHAURI au KUMSUPPORT, WASILIANA NAE 
KUPITIA 0654 806 304








Previous Post Next Post